Ney atoa yake ya moyoni - MUANGALIZI

Hot

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, June 14, 2016

Ney atoa yake ya moyoni

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Ney wa mitego

MSANII wa muziki wa Bongofalva Ney wa Mitego ameonekana kama kuitupia dongo kimtindo familia ya Wasafi Classic (WCB).

Ney amefunguka kuwa wasanii wachanga wanajisikia ufahari kutoka kimapenzi na mastaa wa kike wenye umri mkubwa kwa kuwa   hawawezi kujizuia kwakuwa walikuwa wanawatamani kwa muda mrefu

Mimi siwezi kuwalaumu hao vijana kuwa na uhusiano nao, unajua unaweza kuwa mtaani siku moja ‘unawishi’ kuwa na mtu fulani halafu ghafla ikatokea nafasi kama hiyo, hapo hata upewe ushauri wa dizaini gani mtu ambaye ulikuwa ukimuona kwenye runinga anaingia kwenye 18 zako, siwalaumu ingawa wanatakiwa kuwa makini,” alisema Ney

Pia nyota huyo anayetamba na ngoma nyingi akaweka wazi kuwa wasanii wengi wa kike wamekuwa wakiutumia udhaifu huo ili kutembea na wasanii wachanga.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot