Kundi la Pah One wamerudi kivingine baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, wameachia video ya ngoma yao mpya ‘Hatuna Habari’, video imeongozwa na Mims. Itazame hapa.
Msanii mpya wa bongo fleva ambae amedai anamalengo ya kuwa Tishio katika Tasnia ya Muziki Tanzania Bakari Kaoneka (Darfoo) amedai kuwa anataka kufanya Muziki wa Tanzania kuzidi kwenda mbele zaidi na kudai kuwa yeye anajitahidi kufanya musiki kuwa kitu cha kujivunia katika nchi yetu ya Tanzania na kuahidi kuwa anauwezo wa kufanya hivyo, na kumfikia Diamond platnumz kwani ni msanii pekee alie weza kufanya muziki kuwa na dhamani kubwa. Na hayonyote hayo ni kwasababu ya kwasababu kupenda kujifunza kupitia wasanii waliomzidi.
"Napenda mziki na nmezaliwa nikiupenda na naishi kwenye muziki,na nina malengo ya kuzidi kuupeleka mbali muziki wa Tanzania Uzidi kufika mbali, na naamini nitafanikiwa kwasabau namshirikisha mweneyezi mungu na napenda kujifunza kwa wasanii wakubwa walionizidi maana naamini asiyejifunza kutoka kwa mkubwa hawezi kufikia malengo."
Muongoza muziki ( Director) Ambae amekuwa ni boss wake na director wake amesema msanii wake anauwezo wa kufanya wa kufanya vizuri na kufikisha muziki wa Tanzania mbali kwa kuwa anajuhudin za kujifunza kutoka kwa wengine na amesema kupitia video yake ya kwanza aliofanya kutoka kwenye nyimbo yake ya NISHIKE amesema baada ya hiyo kunaaa zaidi ya video inayofuata.
Angalia wimbo mpya wa harmonize akiwa na bebe wake Wolper Gambe na sikiliza walichokisema kwenye interview ya XXLClouds FM
Hiki ndicho walicholisema kuhusu mapenzi yao kwenye interview ya XXL ya Clouds FM
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu a kupata skendo za kutoka na mtangazaji machachari kutoka clouds media group mwanadada diva the bawse hatimaye kijana huyo heri muzik kaja na kibao chake kipya kinachoitwa sweet love