Simba watatu wafungwa maisha - MUANGALIZI

Hot

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, June 17, 2016

Simba watatu wafungwa maisha


Mmoja kati ya Simba waliofungwa katika vyumba maalumu vitakavyowafanya washindwe kutoka humo maisha yao yote kutokana na adhabu waliyopewa ya kuuwa watu watatu.Picha na Shvree Hamdan
Na Carlos Nichombe: 
Simba watatu ambao wanalaumiwa kwa kuwaua watu kadha mashariki mwa India watazuiliwa maisha yao yote kwa kuwekwa sehemu maalum itakayowafanya washindwe kutoka humo

Simba hao mmoja wa kiume na wawili wa kike, walikuwa wakiishi katika jimbo la Gujarat, wakati watu watatu wakiwemo mtoto wa kiume ,waliuwa katika visa tofauti miezi ya hivi karibuni

Maoafisa wanasema kuwa watu hao waliuawa na simba wa kiume huku wale wa kike wakirarua miili yao na kuifanya miili hiyo kuwa katika hali mbaya zaidi.

Simba wa kiume atapelekwa kwa bustani ya wanyama huku wale wa kike wakipelekwa katika hifadhi ya kuwatunza wanyama.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot