Rais Zuma aamrishwa kurejesha pesa za Umma - MUANGALIZI

Hot

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, June 27, 2016

Rais Zuma aamrishwa kurejesha pesa za Umma


Rais wa Nchi ya Afrika Kusini, Jacob Zuma.
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameambiwa kuwa ni lazima alipe mamilioni ya fedha za umma, ambazo alitumia kukarabati nyumba yake hivi karibuni huko nchini Afrika Kusini.

Mahakama ya juu zaidi nchini Afrika Kusini imetaka wizara ya fedha, kutambua ikiwa ni kiaisi gani cha fedha ambazo Rais Zuma anasathili kurejesha kufutia uamuzi wa mapema mwaka huu kuwa alikuwa amekiuka katiba.

Rais Zuma aliyekuwa amekataa kulipa fedha hizo kwa madai kuwa yeye alikuwa hafahamu chochote kuhusiana na fedha hizo kwani yeye alijengewa tu nyumba hata hivyo uamuzi huo unasubiri maamuzi ya wizara ya fedha kusema kiasi cha fedha kilichotumika ili aweze kuzilipa.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot