![]() |
| Mahakama ya Kenya |
Waendesha mashtaka wamewalaumu kwa kutumia matamshi yanayoweza kusababisha fujo miongoni mwa raia mbali na kudunisha utawala wa taifa.
Video moja iliyowekwa mitandaoni mwishoni mwa juma lililopita, lilimuonyesha mbunge wa chama tawala Jubilee, Moses Kuria, akitoa wito wa kuuawa kwa kinara mkuu wa chama cha upinzani ODM Raila Odinga.
Bwana Kuria amekanusha usemi huo kwa kusema yeye hajawahi kutoa wito kwa mtu yeyote yule kufanya hivyo.
Wabunge wengine wa chama tawala wanaokabiliwa na mashtaka hayo ya uchochezi Ferdinand Waititu (Kabete) and Kimani Ngunjiri (Bahati).



No comments:
Post a Comment