Ungereza na mikataba mipya kibiashara - MUANGALIZI

Hot

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, June 30, 2016

Ungereza na mikataba mipya kibiashara


Ni moja ya vikao vilivyokuwa vikizungumzia maendeleo ya nchi za ulaya
Na Mwandishi Wetu
 
Kamishina wa biashara wa umoja wa ulaya Cecilia Malmström amesema Uingereza inaweza kuanza majadiliano ya mikataba mipya ya kibiashara iwapo tu itakuwa imejitoa kabisa katika umoja huo.

Katika mahojiano na Muangalizi Blogspot amesema kuna aina mbili za majadiliano ya utekelezaji wa makubaliano hayo.

"Uhusiano kati yetu na uingereza kwa siku zijazo hautajadiliwa chini ya kifungu cha 50,ambacho ndicho kigezo cha kujitoa.

Hivyo kuna aina mbili tu za majadiliano,moja unajitoa,kisha unajadiliana namna mpya ya uhusiano,au vyovyote inavyokuwa"

Bi.Malmstrom ameongeza kuwa mpaka mikataba hiyo isainiwe ndipo biashara inaweza kufanyika chini ya taasisi ya kimataifa ya kibiashara.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot