Katika pita pita zangu nikiwa na mwendo kasi muangalizi nilitembea bila kuchoka maeneo fulani hivi huku duniani nilikutana na hii kali kuliko ikanifanya nikose jibu nibaki nikishangaaaa na nikashindwa kutembea nikijiuliza je ni nini kinaendelea kati ya hawa wawili je Raymond anataka kiki au shishi anataka kiki nikabaki njia panda yani daaaah!!! nilipitaaaa nikatembeeee kwenye social network ninaangukia hapa WWW.YOUTUBE.COM hatimaye nikakutana na hii kali sana.
hebu cheki hapa kwenye hii video ujionee maana mimi sisemi kazi yangu ni kuangalia tu wewe ndo ujaji kila kitu.



No comments:
Post a Comment