Awaua watoto wake wawili kwa sumu - MUANGALIZI

Hot

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, December 28, 2017

Awaua watoto wake wawili kwa sumu

KIAMBU, KENYA: Jeshi la Polisi linamshikilia Mwanaume mmoja aliyewaua Watoto wake wawil 2 na yeye kunywa sumu ambayo haikumuua.

Watoto hao waliouawa
mmoja alikuwa na miaka 7 na mwingine miaka 3

Inadaiwa kuwa siku moja kabla ya Sherehe ya Christmas familia hiyo ilisafiri hadi Narumoru ambako Mama wa Watoto hao alibakia huko kwasababu ambazo hazijajulikana.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot