Rais RECEP TAYYIP ERDOGAN alivyowasili Nchini - MUANGALIZI

Hot

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, January 23, 2017

Rais RECEP TAYYIP ERDOGAN alivyowasili Nchini

Rais wa Uturuki RECEP TAYYIP ERDOGAN akiwa ameambatana na mke wake mama Emine Erdogan akiwa anawasili nchini Tanzania katika uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam na atakuwa na ziara ya zipatazo siku mbili



Rais wa Uturuki mhe. RECEP TAYYIP ERDOGAN akiwa amepokelewa na Waziri mkuu Mhe. KASSIM MAJALIWA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot